Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts
Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts

RAISI KIKWETE ATOA HOTUBA BORA MAZISHI YA MZEE MADIBA AFRIKA YA KUSINI

unnamed_6_03326_df3d6.jpg Kwanini Hotuba Ya JK Kumuaga Mandela Ilikuwa Bora?

Ndugu zangu,
NOTHING can come from NOTHING. Wamesema hili Wanafalsafa wa Uyunani ya Kale .
Nimemwona na kumsikiliza Rais wetu Jakaya Kikwete akizungumza kwenye siku muhimu ya kumuaga kwa mara ya mwisho Mzee wetu Nelson Mandela.
Muda wote wa hotuba yake, JK alibaki kwenye mstari kwa namna ile ile ya kuweka bayana kwa ulimwengu, kuwa ' msione vinaelea'.
Hakika alichofanya JK leo ndicho haswa alipaswa kukifanya, na amekifanya kwa kutumia weledi wake kwenye diplomasia na kuchanganya uzoefu wake kwenye uongozi wa kisiasa na dola kwa ujumla.
Ni kuitumia fursa ile ambapo macho na masikio ya dunia yalielekezwa Quni, kwa yeye rais kuiambia dunia, na si kuisubiri CNN au vyombo vya habari vya Kimagharibi kuifanya kazi hiyo, juu ya mchango wa Tanzania katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika ikiwamo mchango wa Tanzania kumfanya Mandela na viongozi wengine wa Kiafrika kuonekana kama walivyoonekana kwenye macho ya dunia.
Hakika, JK anastahili pongezi kwa kazi njema aliyoifanya leo ya kuiweka tena Tanzania katika ramani ya dunia, si tu kama nchi ile ya mbuga za wanyama na Mlima Kilimanjaro, bali ' Taifa Kubwa' lililochangia kushiriki mikakati ya ukombozi ikiwemo kutoa misaada ya silaha, mafunzo na hata makazi kwa wapigania ukombozi wa Afrika.(P.T)
JK aliipitia historia ya mchango wa Tanzania ambayo wengi waliokuwa wakimsikiliza, ama waliisahau au hawakuijua kabisa.
Lakini, tujiulize pia kama Watanzania, katika aliyoyasema JK kule Quni, ni Watanzania wangapi wanayajua? Inahusu umuhimu wa kuipitia historia yetu ili, kama Watanzana, tuweze kumiliki ' K3'- Kujitambua, Kujiamini na kuthubutu. Imefika mahali tunaionea aibu hata historia yetu.
Na nyongeza katika yale aliyoyasema JK leo ni kumbukumbu ya kihistoria ambayo haitajwi pia, kuwa Baba wa Taifa , Mwalimu Nyerere, ndiye aliyempa hifadhi Tanzania, Rais wa Pili wa Afrika Kusini huru, Thabo Mbeki baada ya kutoroka Afrika Kusini. Baadae Thabo Mbeki akaenda kusoma Uingereza.
Jambo hilo linathibitishwa katika kitabu alichoandika msomi mahiri wa Afrika Kusini, William Gumede. Anasema;
" In 1962, Thabo slipped out of the country to which he would not return for twenty -eight years, travelling through Botswana to Rhodesia, where he was arrested and held in a Bulawayo prison for several weeks. The white Rhodesian authorities intended to deport him back to South Africa and waiting for security police, but British Labour MP, Barbara Castle intervened after being lobbied by the ANC, and Mbeki was granted asylum in Tanzania by President Julius Nyerere." ( William Gumede, Thabo Mbeki and The Search For Soul of The ANC, pg 36)
Naam, ni wakati sasa wa viongozi wengine, bila kujali itikadi zao, wanapokuwa kwenye majukwaa ya kimataifa, kuzitafuta fursa za kuonyesha yale ambayo huko nyuma tumekuwa na uwezo nayo, na bado, kama nchi, tunaweza kuaminika katika kutoa mchango wa uzoefu wetu kwenye masuala mbali mbali ya Kimataifa.
Read more >>

LILE SHAMBULIO LA NCHINI KENYA LASABABISHA TENA MAUAJI..!



Watu kadhaa wamehofiwa kufariki kufuatia mlipuko uliotokea ndani ya gari moja dogo la abiria katika mtaa wa Pangani mjini Nairobi.

Duru zinaarifu kuwa karibu watu 5 huenda wamefriki katika shambulizi hilo na wengine kadhaa kujeruhiwa.

Shirika la msalaba mwekundu limesema kuwa watu 15 waliojeruhiwa walipelekwa hospitalini.

Hata hivyo polisi hawajatangaza idadi rasmi ya watu waliojeruhiwa wala wale waliofariki.

Mlipuko huo umesemekana kutokea ndani ya matatu iliyokuwa inakwenda katika mtaa wa Eastleigh ambao una idadi kubwa ya wasomali wanaoishi huko.

Athari za mlipuko huo hazikuyasaza magari mengine manne yaliyokuwa karibu na matatu hiyo.

Polisi walilazimika kutumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya watu waliokusanyika katika eneo la shambulizi kujionea yaliyokuwa yanajiri.

BBC
Read more >>

HII HAIJAWAHI TOKEA: ZOEZI LA KUAGA MWILI WA MAREHEMU NELSON MANDELA LAVUNJA REKODI...! CHEKI PICHA HIZI HAPA

Nelson Mandela was today given back to ordinary South Africans who queued in their thousands from the early hours to file past his open casket on a day of viewing reserved for the public.
Aerial images showed lines of mourners snaking for around two miles as they queued patiently for buses to the building where his body is lying in state and then again as they waited to go inside.
Until now the cameras of the world have often been trained on leaders, VIPs and celebrities paying tribute to a man known for his common touch - a man who related to princes and paupers with equal ease.


Waiting to see their hero: This image shows thousands of South Africans queuing for around two miles to get on buses to take them to view Nelson Mandela's body


Determined: Mourners then faced huge queues at the Union Buildings where Mr Mandela's body is lying in state


Time to grief: Nelson Mandela was today given back to ordinary South Africans on a day of viewing reserved for the solely for the general public


Anti-apartheid icon: Nelson Mandela's body is transported from the mortuary to the government buildings on each of the three morning his coffin lies in state


One mourner, Anita Bodiba, 35, said: 'I can't even sleep, I'm thinking of Madiba. He is the one who united us here in South Africa - white people, black people, Indian people'


Overwhelming popularity: Hundreds of mourners queue for buses before heading to the Union Buildings in Pretoria, where Nelson Mandela's body is lying in state


A day for the people: Until now the cameras of the world have often been trained on leaders, VIPs and celebrities paying tribute to a man known for his common touch

Ordinary mourners from all walks of life had also queued for hours on end yesterday to view the body, but many were turned away by evening without having made it to the front of the long, winding line of people united in grief and gratitude for the father of their democratic nation.
Many returned today for another chance, with the entire day given over to general public access.

'My heart is so broken,' said Anita Bodiba, 35, who arrived at the seat of government, the Union Buildings, hours before dawn to join the long queue that had already formed.
'I can't even sleep, I'm thinking of Madiba. He is the one who united us here in South Africa - white people, black people, Indian people,' she said - using the clan name by which the democracy icon is fondly known.
Waiting to see Madiba: Thousands queue for hours



Patient: People standing in line as they queue to view the coffin during the lying in state at the Union Buildings in Pretoria


Day trip: People with umbrellas queue along a road on the second of three days of public viewing set aside to see Mr Mandela's body


Lying in state: Many returned to the Union Buildings for another chance to see the late leader's body, with the entire day given over to general public access
On Wednesday, Mandela's distraught widow Graca Machel and other family members were followed by presidents, royalty and other international figures in paying their last respects in the amphitheatre of the Union Buildings where the Nobel laureate is laying in state.
It was here that he was inaugurated as South Africa's first black president in 1994, after emerging from 27 years' imprisonment.
A third day of lying in state will be held Friday, after which Mandela's body will be transported to his boyhood home of Qunu, ahead of its eventual burial on Sunday.
Thursday's programme began, as the day before, with Mandela's casket brought in a solemn cortege from the 1 Military Hospital to the Union Buildings.



Hoping to get their chance: Visitors arrive by bus to line up to pay their respects to former South African President Nelson Mandela


Visitors leave after viewing the body of Nelson Mandela who died at his home last Thursday at the age of 95
Thousands lined the route as a black hearse, flanked by motorcycle outriders, carried the flag-draped coffin on its journey through the streets of Pretoria.
In the Union Buildings amphitheatre, soon to be renamed after him, Mandela's body lies underneath a perspex screen, dressed in the type of printed shirt that became his trademark.
Two navy officers stood by the coffin, their eyes downcast, and Mandela's grandson Mandla sat in a chair on the platform supporting the coffin.




All walks of life: A police officer helps an elderly lady line up to view the body of former South African president Nelson Mandela


Reflecting: A visitor pauses after viewing the body of Nelson Mandela which was brought to the Union buildings in a cortege from the 1 Military Hospital


Respect: Nelson Mandela's body will lie in state for three days as part of ten days of events commemorating the life of Mr Mandela



Celebrating his life: A street vendor wears a button with an image of former South African president Nelson Mandela outside the Union BuildingsSome visitors collapsed as they passed the coffin, felled by the weight of their grief, and were helped away by medical personnel and fellow mourners.
'It was so sad,' Alinah Lekalakala, 52, said after seeing the body of her icon.
'I needed to pay my last respects because I am so grateful for what he has done. This will help me to accept that he is gone.'




Emotional: A mourner walks away after viewing Nelson Mandela's body on Wednesday when many people were turned away before getting a chance to see him


Overcome: A mourner weeps into her scarf while holding a South African flag after paying her respects to Mr Mandela
For Tryphina Kau, 78, the event was a joyful one.
'I am very, very happy because his spirit is still with us, only the body is going,' she said, recounting the day that Mandela shook her hand while she queued to vote in South Africa's first democratic elections in 1994.
'I saw him at the beginning, and I came to see him at the end.'



Mixed emotions: Children at a Christmas Party celebrating the life of former South African president Nelson Mandela at the museum in Qunu


Lighting up people's lives: A flame burns in honour of former South African president Nelson Mandela at the museum in Qunu



Worldwide appeal: A woman writes her condolences in a book for Nelson Mandela during a memorial service at the Sint-Gudule Cathedral in Brussels
Lebogang Phillips, a 36-year-old police officer who had served on Mandela's security detail when he was president, remembered the man as 'the friendliest person I have ever met'.
'When meeting people, he would always try to speak their language, whatever it was.'
The line of people queueing to catch a glimpse of their hero was already several city blocks shortly after dawn, and continued snaking around streets surrounding the Union Buildings by lunchtime.



Preparations: Police stop cars from using a main road running past Nelson Mandela's home as the construction of a dome is completed that will be used at his funeral
Some mourners were dressed in the vibrant yellow, green and black of the ruling African National Congress that Mandela once led, and many wore black armbands.
People carried posters bearing Mandela's likeness and many clutched miniature South African flags, dancing and singing revolutionary songs from the liberation struggle era as helicopters hovered overhead.
White South African siblings Sean and Louise Bos, 21 and 19 respectively, flew from Cape Town on Wednesday morning to be part of the historic occasion.
They queued until closing time without making it to the front, then returned at 5.30am today, queueing about five hours to see him.
'We never met him so we thought we'd come to say goodbye,' said Sean, as the pair rushed to catch a plane home afterwards.
Read more >>

Hatimaye Serikali ya DRC yasaini mkataba wa Amani na Waasi wa M23 huko jijini Nairobi...!!

Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo hatimaye imesaini mkataba wa amani na waasi wa kundi la M23 waliokuwa wakifanya mashambulio ya mara kwa mara mashariki mwa nchi hiyo.
Waasi wa M23 walijilsalimisha mwezi uliopita baada ya kushindwa katika oparesheni iliyoendeshwa na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ikisaidiwa na majeshi ya Umoja wa Mataifa. Alhamisi, marais Yuweri Museveni, ambaye ndiye mwenyekiti wa kongamano la kimataifa juu ya usalama katika maziwa makuu, na Joyce Banda, rais wa Malawi, ambaye ndiye mwenyekiti wa jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa Afrika SADC, walisaini kama wadhamini wa mkataba huo.

Marais hao walisaini mkataba huo wakiwa jijini Nairobi walikohudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Kenya.
Juhudi za awali kutafuta amani kati ya serikali ya DRC na waasi hao wa M23 zilishindikana. Licha ya kuandikwa mktaba huo, pande mbili zilikataa kusaini kutokana na kushindwa kukubaliana jina litakalopewa. Upande wa serikali ya DRC ulisisitiza kuwa hakuna mkataba wa amani na waasi, hasa baada ya kuwa wamewashinda vitani.
Tangu kupigwa na kufukuzwa kwa waasi hao kutoka mkoa wa Kivu ya kaskazini, waasi hao wa M23 wamekuwa wakijisalimisha kwa serikali ya Uganda na kuomba hifadhi. Serikali ya DRC imetaka warudishwe nchini humo ili wakabiliwe na mashtaka ya mauaji, ubakaji na uhalifu mwinigne wa kivita. Hata hivyo Uganda imekataa kuwakabidhi ikisema kuwa ni wakimbizi na inasubiri uamuzi kutoka shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi,UNHCR.
Pia viongozi wa nchi hizo mbili wakiwemo waakilishi wa jeshi wanasubiriwa kukutana kuamua hatma ya waasi hao waliojisalimisha.
Hadi sasa amani imeanza kurejea katika maeneo yaliyokombolewa kutoka mikono ya waasi wa M23. Hata hivyo mwandishi wa BBC katika eneo hilo Lubunga Bya Ombe, anasema kuwa bado serikali hiyo ya DRC ina kibarua kigumu kukabili makundi mengine madogo ya waasi yaliyo kita kambi katika eneo hilo.
Wiki hii serikali ya DRC ikishirikiana na kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa imetangaza oparesheni mpya dhidi ya Kundi la waasi la FDLR.
Read more >>

Hizi ndizo Picha 9 za tukio la risasi za Majambazi dhidi ya Mwanajeshi Dar es salaam

1Kuhusu hili tukio, Kamanda wa Polisi Kinondoni anasema ‘December 11 2013 saa nane mchana maeneo ya Maringo roundaboutJaphet Mriga ambae ni Mwanajeshi wa JWTZ Lugalo akiwa na mwenzake ambae ni mfanyabiashara Abdul Zacharia, walikua wanatoka bank ya NMB Mlimani City ambapo Mwanajeshi huyu alichukua shilingi milioni tisa kwa dhumuni la kumpatia Zacharia ili amnunulie gari Zanzibar’
‘Sasa walipofika maeneo ya Maringo walivamiwa na Majambazi watatu wakiwa na pikipiki na walifanikiwa kumpora Mriga fedha na katika purukushani walimjeruhi Mwanajeshi huyu kwa risasi kwenye paja na kiganjani, wakati yote hayo yakiendelea Majambazi hawa walipigana risasi wao kwa wao ambapo jambazi mmoja alipigwa risasi kwenye mbavu upande wa kulia na kufariki papohapo na kupatikana akiwa na bastola moja yenye risasi 6′ – Kamanda
Kwa kumalizia, Kamanda amethibitisha kukamatwa kwa pikipiki moja iliyokua ikitumiwa na Majambazi ambapo msako mkali unaendelea kuwatafuta wale Majambazi wengine waliotoroka wakiwa na silaha nyingine ambayo ndio imemuua Jambazi mwenzao na kumjeruhi Mwanajeshi Mriga ambae alipata matibabu hospitali ya Lugalo na sasa anaendelea vizuri.
2
3Mwili wa Jambazi alieuwawa akiwa na kofia ya kuendeshea pikipiki.
4
5Pikipiki iliyokua ikitumiwa na Majambazi.
6
7Mwanajeshi aliejeruhiwa.
8Wananchi wakishangaa kwenye eneo la tukio.
9Gari ya Polisi ikichukua mwili wa Jambazi pamoja na kumbeba Mwanajeshi aliejeruhiwa.
Read more >>

MSAFARA WA RAIS WA DUNIA OBAMA WAKUMBANA NA FOLENI NCHINI AFRIKA YA KUSINI

It seems not even the most powerful man in the world would escape Jo' burg traffic... Not especially when the world has congregated in South Africa.
This was the scene on Tuesday morning.
-

You can imagine this guy's surprise when Obama's limo overtook him.
If the leader of the free world went through this, I do not want to imagine how long our president had to wait in traffic.
Read more >>

TAZAMA HAPA JINSI KITENDO CHA OBAMA KUMSALIMIA CASTRO KILIVYOPIGWA NA MAREKANI:


cnn 1Baadhi ya Maseneta wa majimbo mbalimbali nchini Marekani wamekosoa kitendo cha Rais wa nchi hiyo Barack Obama kupeana mkono na kiongozi wa Cuba Raul Castro wakati wa kumuaga mzee Nelson Mandela Johannesburg South Africa.

Mmoja wao ambae ni Bi Lehtinen amesema ‘wakati kiongozi wa ulimwengu huru anaposhikana mkono na kiongozi ambae ni dikteta inaonekana wazi kabisa kwamba hili ni tukio lililopangwa, Raul Castro anatumia mkono huu huu kutia saini maamuzi ya kikatili yanayokandamiza, kunyanyasa hata watu wasio na hatia’
‘Hivi tunavyozungumza Viongozi wa Upinzani Cuba wanakatwa na kuteswa kwa kupigwa bila hatia, wanafungwa gerezani na kufanyiwa mengine ya kikatili kupitia ruhusa ya mkono huohuo wa alioshikana nao Rais Obama’ – Lehtinen.
Obama JobergPamoja na kushikana mkono na Raul, Rais Obama kwenye hotuba yake aliyoitoa muda mfupi baadae alionekana kumpa madongo Raul kwa kuwaponda wanaomlilia Mzee Mandela wakati wao wenyewe wanashindwa kutekeleza yale mazuri aliyokua akiyafanya ikiwemo siasa za kistaarabu.
Obama Raul 2Wengine waliopinga kitendo cha Rais Obama kumsalimia Raul kwa kupeana mikono ni Seneta John McCain ambae amesema hiki kitendo ni sawa na kupeana mkono na Adolf Hitler na kusisitiza ‘kwa nini upeane mkono na mtu ambae bado anawashikilia Wamarekani kwenye magereza yake?’
Obama Raul
Read more >>

RAIS JK NA FUNIKA YA KWENYE MSIBA WA MANDELA SOUTH AFRICA AMTAMBULISHA OBAMA KWA VIONGOZI WENGINEZZ!!

President Jakaya Mrisho Kikwete with his wife first lady Mama Salma Kikwete at Nelson Mandela's Memorial Service which was held at FNB Stadium Johannesburg Tuesday Novemba 10, 2013.
  President  Jakaya Mrisho Kikwete introducing President Barack  to other African leaders and Head of States during Nelson Mandela's Memorial Service which was held at FNB Stadium Johannesburg Tuesday Novemba 10, 2013.
You
Read more >>

Mandela Kuzikwa Kimila,ng'ombe dume kumsindikiza kaburini

.article-2521757-1A053F1500000578-245 964x504 39fb2
Ng'ombe dume (fahali) atachinjwa kisha kuwekwa katika kaburi atakamozikwa Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Mzee Nelson Mandela, Kijiji cha Qunu, Mthatha Jimbo la Eastern Cape Jumapili hii.
Viongozi wa kimila wa Kabila la AbaThembu wametoa mwito kwa Serikali ya Afrika Kusini isiingilie taratibu za mazishi ya kiongozi huyo na kuonya kwamba ikifanya hivyo, 'Mandela hatapokewa na miungu' na kwamba roho yake inaweza kurejea na kuathiri familia.(HD)
"Jumapili baada ya mwili wake kuwekwa katika kaburi lake, taratibu zote za kimila zitafanywa na Himaya ya Kifalme," alisema Kiongozi wa Jamii ya Xhosa, Nokuzola Mndende baada ya kutembelea familia ya Mandela, nyumbani kwao Houghton, Johannesburg na kuongeza:
"Zitakuwa ni mila na desturi za jadi, Serikali inapaswa kutupa nafasi na isituingilie. Fahali (ng'ombe dume) atachinjwa kwa ajili ya kumsindikiza, ni familia ya Mandela pekee watakaohusika na taratibu hizi za kumwandalia safari njema."
Mandela anazaliwa katika Kabila la AbaThembu ambalo linazungumza Ki- Xhosa na kwa mujibu wa taratibu za kabila hilo, hata mwili wake utashushwa kaburini na viongozi wa kimila.
Hata hivyo, habari zaidi kutoka Qunu zinasema licha ya taratibu za kimila, pia kutakuwapo taratibu za Dini ya Kikristo, ambayo Mandela alikuwa muumini wake.
Kusafirishwa Jumamosi
Jumamosi Decemba 14, mwili wa Mandela utasafrishwa kutoka Uwanja wa Ndege wa Jeshi wa Waterkloof, Pretoria hadi Mthatha, Eastern Cape kwa ajili ya mazishi Jumapili.
Viongozi wa juu wa Chama Tawala cha ANC, watatoa heshima za mwisho muda mfupi kabla ya mwili huo kusafirishwa.
Taarifa ya Idara ya Habari na Mawasiliano ya Afrika Kusini (GICS), ilisema Jeshi la Afrika Kusini (SANDF), ndilo litakaloongoza shughuli zote za kuagwa kwa mwili wa Mandela.
Gwaride la heshima la askari wa SANDF litausindikiza mwili wa Mandela uwanjani hapo na baadaye gwaride kama hilo litatoa heshima, wakati mwili huo utakapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mthatha, huku askari wake wakihusika na kuuchukua kutoka kwenye ndege.
Jeneza lililobeba mwili wa Mandela litawekwa katika gari jingine maalumu. Wimbo wa Taifa utapigwa ukiongozwa na SANDF, wakati heshima za kijeshi zikitolewa.Taarifa hiyo ya Serikali inasema baada ya taratibu hizo, mwili huo wa Mandela utasafirishwa hadi Kijijini Qunu ambako Kabila la AbaThembu watafanya taratibu za kimila.
Hitimisho la siku 10 za maombolezo ya msiba wa Mandela itakuwa Jumapili, Desemba 15 wakati kiongozi huyo atakapozikwa katika makaburi ya familia.
Wakati wa mazishi SANDF pia wamepewa jukumu la kusimamia upelekaji jeneza makaburini na heshima za kitaifa zitatolea pamoja na wimbo wa Taifa kupigwa kabla ya maziko.:CHANZO MWANANCHI.
Read more >>

Jacob Zuma na wake za Mandela Winnie na Graca watoa heshima za mwisho kwa Nelson Mandela

article-2521757-1A052DEA00000578-255 964x966 f8321
Gari maalum lililobeba mwili wa Marehemu Mzee Nelson Mandela likitokea Hospitalini na msafara kuelekea sehemu maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya watu maarufu kutoa heshima za mwisho.
article-2521757-1A0533E900000578-113 964x567 62801
Raia wa Afrika Kusini wakiwa wamejipanga kando kando ya barabara kutoa heshima zao za mwisho kwa Mzee Nelson Mandela.
article-2521757-1A056EB600000578-301 964x691 16850
Mwili wa Mzee Nelson Mandela ukiwasili kwenye jengo lililopo mji mkuu wa nchi hiyo Pretoria, ambapo utalala kwa siku tatu kuruhusu Raia wote wa Afrika Kusini na Dunia kwa ujumla kutoa heshima zao za mwisho.
article-2521757-1A06092C00000578-176 964x833 f819d
Mke wa kwanza wa Mzee Nelson Mandela akionekana na majonzi mazito akielekea kutoa heshima za mwisho kwa mumewe wa zamani.
article-2521757-1A06339300000578-927 964x622 d13e0
Mwanamindo wa Kimataifa Naomi Campbell alishindwa kuzuia hisia zake baada ya kuona jeneza la Mzee Nelson Mandela likiwasili kwenye viwanja hivyo tayari kwa kutoa heshima za mwisho.
article-2521757-1A06380200000578-720 964x646 bbc5c
Rais Jacob Zuma na mkewe wakitoa heshima za mwisho.(HD)
Read more >>

pop up

 
Support : KARIBU TENA BONGO MASKANI
Copyright © 2011. BONGO MASKANI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA BONGO MASKANI
Proudly powered by Blogger