Barcelona yakubali kichapo cha 1-0 kutoka kwa Athletic Bilbao

fernandollorente11_36af9.jpg
Usiku wa kuamkia leo ulikuwa ni mbaya kwa Barcelona baada ya kukubali kichapo cha goli moja kutoka kwa vijana wa Athletic Bilbao. Goli hilo lilipatikana kunako dakika ya 71 kupitia kwa mchezaji Iker Muniain. katika mchezo huo kadi za njano zilikuwa ni nyingi huku Barcelona wakipata kadi nne na Athletic Bilbao walipata kadi tatu. Hadi mwisho wa mchezo Barcelona 0 na Athletic Bilbao

pop up

 
Support : KARIBU TENA BONGO MASKANI
Copyright © 2011. BONGO MASKANI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA BONGO MASKANI
Proudly powered by Blogger