
Akitolea mfano kwenye filamu ya shaymaa anasema “story“ilitaka avute sigara ndio maana amevuta lakini sio mvutaji kabisa wa sigara kwenye maisha ya kawaida
“mimi sivuti kabisa sigara njee ya filamu hivyo msinitafasiri tofauti jamani navuta sigara kulingana na story inavyotaka“