Wyclef Jean tayari amewasili nchini humo kwa ajili ya show hiyo kubwa ambayo hufanyika mara moja kwa mwaka, na kuhusisha wasanii wakubwa wa Naija wakiwemo P-Square, Wiz Kid, Davido, D’Banj na wengine.
Jean alitweet masaa machache kabla hajaondoka Marekani, “I am on my way to Africa today !v “Nigeria” “Ghana” We all Love Nelson Mandela! Then I will be in Jamaica my second home performing at “sting”.
Hii ni mara ya pili kwa Wyclef kwenda Nigeria kuhost tamasha la muziki, baada ya ile ya MTV Africa Music Awards.