Mmoja
wao ambae ni Bi Lehtinen amesema ‘wakati kiongozi wa ulimwengu huru
anaposhikana mkono na kiongozi ambae ni dikteta inaonekana wazi kabisa
kwamba hili ni tukio lililopangwa, Raul Castro anatumia mkono huu huu
kutia saini maamuzi ya kikatili yanayokandamiza, kunyanyasa hata watu
wasio na hatia’
‘Hivi
tunavyozungumza Viongozi wa Upinzani Cuba wanakatwa na kuteswa kwa
kupigwa bila hatia, wanafungwa gerezani na kufanyiwa mengine ya kikatili
kupitia ruhusa ya mkono huohuo wa alioshikana nao Rais Obama’ –
Lehtinen.